Quran in Swahili Al-Falaq 113 – AL – FALAQKWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. 1. Sema: NajikingakwaMola Mlezi wa mapambazuko, 2. Nashariya alivyo viumba, 3. Nashari ya gizala usiku liingiapo, 4. Nashariya wanao pulizia mafundoni, 5. Nashariya hasidi anapo husudu.