Quran translations in many languages

Quran in Swahili

Al-Fîl

105 – AL – FIIL

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. 

 

  1. 1. Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?
  2. 2. Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?
  3. 3. Na akawapelekea ndege makundikwamakundi, 
  4. 4. Wakiwatupia mawe ya udongo wa Motoni,
  5. 5. Akawafanyakamamajani yaliyo liwa!