Quran translations in many languages

Quran in Swahili

Al-Humazah

104 – AL – HUMAZAH

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. 

 

  1. 1. Ole wake kila safihi, msengenyaji!
  2. 2. Aliye kusanyamalina kuyahisabu.
  3. 3. Anadhani ya kuwamaliyake yatambakisha milele!
  4. 4. Hasha!Atavurumishwa katika H’ut’ama.
  5. 5. Na nani atakujuvyaninini H’ut’ama?
  6. 6. MotowaMwenyezi Mungu ulio washwa.
  7. 7. Ambao unapanda nyoyoni.
  8. 8. Hakika huo utafungiwa nao
  9. 9. Kwenye nguzo zilio nyooshwa.