Quran in Swahili Al-Masad 111 – AL – MASADKWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. 1. Imeangamia mikono ya Abu Lahab,nayeye pia ameangamia. 2. Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.3. Atauingia Moto wenye mwako.4. Na mkewe, mchukuziwakuni, 5. Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.