111 – AL – MASAD
KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU.
- 1. Imeangamia mikono ya Abu Lahab,nayeye pia ameangamia.
- 2. Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.
- 3. Atauingia Moto wenye mwako.
- 4. Na mkewe, mchukuziwakuni,
- 5. Shingoni mwake iko kamba iliyo sokotwa.