Quran in Swahili An-Nâs 114 – ANNASKWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. 1. Sema: NinajikingakwaMola Mlezi wa wanaadamu, 2. Mfalme wa wanaadamu,3. Mungu wa wanaadamu,4. Nashari ya wasiwasi waShetani, Khannas, 5. Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu,6. Kutokananamajini na wanaadamu.