Quran translations in many languages

Quran in Swahili

An-Nasr

110 – ANNAS’R

KWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. 

 

  1. 1. Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
  2. 2. Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungukwamakundi,
  3. 3. Zitakase sifa za Mola wako Mlezi,naumwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.