Quran in Swahili At-Takâthur 102 – AT-TAKAATHURKWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. 1. Kumekushughulisheni kutafuta wingi,2. Mpaka mje makaburini!3. Sivyo hivyo! Mtakuja jua!4.4, Tena sivyo hivyo! Mtakuja jua!5. Sivyo hivyo! Lau mngeli juakwa ujuzi wayakini, 6. Basi bila ya shaka mtaiona Jahannamu!7. Tena, bila ya shaka, mtaionakwajicho la yakini. 8. Tena bila ya shaka mtaulizwa siku hiyo juu ya neema.