Quran in Swahili Quraysh 106 – QURAISHKWA JINA LA MWENYEZI MUNGU MWINGI WA REHEMA MWENYE KUREHEMU. 1. Kwa walivyo zoea Maqureshi,2. Kuzoea kwao safari za siku za baridinasiku za joto. 3. Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,4. Ambaye anawalisha wasipate njaa,naanawalinda na khofu.